KUFUNGULIWA KWA MAOMBI YA KUJIUNGA NA ELIMU YA SEKONDARI
Ofisi
ya Mkuu wa shule Katoro Islamic Seminary anapenda kuwaarifu wazazi ,walezi na wanafunzi
kuwa shule imefungua rasmi dirisha la maombi ya kujiunga na masomo kwa kidato cha kwanza kwa muhula.
May 17th, 2022